Loading...

Shilole : Sijaona Msanii Bongo Mwenye Vigezo vya Mwanaume Ninayemtaka.

post-feature-image
Kwa mujibu wa Shilole, hakuna msanii Bongo aliye na vigezo vya mwanaume anayemhitaji kwa sasa.

“Hakuna hata mmoja,” Shilole alimjibu mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove aliyemuuliza kama kuna msanii wa Bongo kwenye vigezo anavyovitaka.

Awali alitaja vigezo hivyo kuwa ni, “Upate mtu ambaye anakupenda kwa dhati, mchapakazi, ambaye anajua kwamba maisha ni nini,” alisema Shishi.

Kingine alisema kuwa mwanaume huyo awe mrefu. Shilole alikuwa na uhusiano maarufu na Nuh Mziwanda kabla ya kuachana na kuwafanya wawe maadui kwa muda. Kwa sasa wameamua kuziweka tofauti zao pembeni.

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Swahili Tanzania | Designed By Habari Zetu Daily
Back To Top