Kenya ambayo imekuwa ikifuatilia siasa za Tanzania tangu wakati wa kampeni, imeonesha kupenda mbinu za Magufuli na wananchi wake wanatamani mtu kama yeye.
Kwa kipindi kifupi alichoingia madarakani, Magufuli amefanya mambo makubwa na wananchi wamependa.
Ziara yake ya kushtukiza kwenye hospitali ya Muhimbili ilifichua uovu mwingi na kupelekea kufutwa kwa bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo na kumuondoa Kaimu Mkurugenzi wake, Dk Hussein Kidanto.
Ili kupunguza matumizi makubwa ya fedha za serikali kwaajili ya kugharamia safari za nje za viongozi wa nchi, Magufuli aliamua kuzisitisha mara moja.
Dkt Magufuli pia alielekeza kiasi cha shilingi milioni 225 zilichangwa kwaajili ya kugharamia hafla ya wabunge kupongezana mjini Dodoma zipelekwe kwenda kununua vitanda. Badala yake shilingi milioni 15 pekee zilitumika kwaajili ya sherehe hiyo.
Siku chache baadaye vitanda hivyo na vifaa vingine vilinunuliwa na kupelekwa Muhimbili.
Jumatatu hii Magufuli alitangaza kuondoa sherehe za maadhimisho ya siku ya Uhuru December 9 na fedha za maandalizi hayo zitumike kwa mambo mengine muhimu.
Hayo na mambo mengine yamefanya Dkt Magufuli atrend nchini Kenya.
Hizi ni baadhi ya tweets za wakenya:
Uhuru Kenyatta needs to borrow a leaf from his fresher counterpart in Tanzania Magufuli!!!
— Fifi (@Sly_lis) November 23, 2015
Magufuli has in 2wks achieved more than Kenya's Jubilee government 3yrs reign of mediocrity
— Stro'bae (@labokaigi) November 23, 2015
GOD Please bless kenya with a president like Tanzanians president Magufuli...#XtianDelaBlessingTrain.
— Sandyihachy (@sandie_swat) November 22, 2015
Magufuli akuje atoe Uhuru lock juu ye ni Pombe.
— Dan Did It® (@Danielki_) November 23, 2015
#StateOfTheNation magufuli went into action mood 2nd day in office,3 years down the line,uhuru is still forming committes to tell him to act
— TeamMafisi Pope (@MafisiPope) November 23, 2015
Pres.
Uhuru has been talking since 2013, Pres. Magufuli has been ACTING
since 3 weeks ago. More fruits in 3 weeks action than 3yrs talk.
— Collins BETT, Esq. (@CollinsFabien) November 23, 2015
As Tanzanians wake up to what Magufuli has done, Kenyans wake up to what Uhuru has promised @Ma3Route
— Muthui Mkenya (@MuthuiMkenya) November 23, 2015
"President
Uhuru Kenyatta" should act not give statement. We want see him act
like Buhari, and Magufuli. He has talked enough. Act now!!
— George Onyango (@geogias) November 23, 2015
Magufuli has in 2wks achieved more than Kenya's Jubilee government 3yrs reign of mediocrity
— Stro'bae (@labokaigi) November 23, 2015
Magufuli should come and be the president of Kenya too bana..
— 孫子兵法™ (@Kubz_Bomaye) November 23, 2015
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip
Post a Comment